Sunday, 9 August 2015

unnamed (57)Sherehe za Nane Nane 2015 Kitaifa zilikua Mkoani Lindi na zilipata heshima ya kuwa naRais Jakaya Kikwete pamoja na Waziri wa Ujenzi Dr.John Magufuli ambapo mbali na kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha sherehe hizo pia Rais aliitumia siku hiyo kuzindua rasmi kivuko cha Mtwara.
unnamed (59)Kivuko hicho kimepewa jina la Mv Mafanikio na kitakua kikifanya safari zake kutokaMsemo hadi upande wa pili unaoitwa Msangamkuu,Uwezo wa kivuko hicho ni kubebaabiria 600 na Magari 6 mara moja na nimeambiwa pia kivuko hicho kimetumia Bilion 3.3kwenye utengenezwaji wake.
unnamed (53)Picha kwa hisani ya :issamichuzi.blogspot.com

0 comments:

Post a Comment