Mshambuliaji wa club ya Mashetani wekundu wa jijini London
Adnan Januzaj amesema atapigania nafasi yake katika kikosi cha kwanza cha timu
hiyo baada ya kufunga goli lililoipelekea Man U kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi
ya Aston Villa mchezo uliopigwa katika uwanja wa Villa Park ijumaa iliyopita.
Zilikua ni tetesi tu na Januzaj alisikika akiiambia
Skysports “nina furaha hapa nilipo na naitaji kupigania nafasi yangu"
0 comments:
Post a Comment