Saturday, 5 September 2015

Hatua ya kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON2017) kundelea weekend hii katika viwanja tofauti tofauti barani Afrika, Nimeona nikusogeze na ratiba ya mechi za Septemba 5 na 6 za michezo kadhaa ya hatua ya hii.
Ratiba ya mechi za Jumamosi ya Septemba 5
  1. Tanzania Vs Nigeria      16:30
  2. Liberia Vs Tunisia         19:00
  3. Sudan Kusini Vs Equatorial Guinea 16:30
  4. Comoros Vs Uganda 15:00
  5. Botswana Vs Burkina Faso  17:00
  6. Sao Tome and Principe Vs Morocco 18:30
  7. Rwanda Vs Ghana 16:30
  8. Seychelles Vs Ethiopia 15:30
  9. Burundi Vs Niger 16:30
  10. Namibia Vs Senegal 16;30
  11. Mauritania Vs Afrika Kusini 20:00
  12. Guinea-Bissau Vs Congo 19:00
Ratiba za mechi ya Jumapili Septemba 6
  1. Madagascar Vs Angola 14:30
  2. Central African Republic Vs DR Congo 17:00
  3. Benin Vs Mali 18:00
  4. Kenya Vs Zambia 16:00
  5. Libya Vs Cape Verde 20:00
  6. Chad Vs Misri 17:30
  7. Mauritius Vs Msumbiji 14:00
  8. Sierra Leone Vs Ivory Coast 18:00
  9. Lesotho Vs Algeria 16:00
  10. Swaziland Vs Malawi 16:00
  11. Zimbabwe Vs Guinea 16:00
  12. Gambia Cameroon 19:30

0 comments:

Post a Comment